+255 734 026 766 arushameatcompany@yahoo.com

TANGAZO LA ZABUNI YA ULINZI LA TAREHE 15/05/2024.

Arusha Meat Co.Ltd kupitia kamati ya Manunuzi inakusudia kufanya mchakato kwa ajili ya kupata kampuni ya ulinzi.  Tangazo hili limetolewa Kuanzia tarehe 15/05/2024 hadi tarehe 28/05/2024, Kampuni zote za ulinzi zenye nia na uwezo wa kufanya kazi, pakua maelezo ya ZABUNI HII HAPA CHINI.

× How can I help you?